Mkoa wa Haut-Sassandra


auto

Mkoa wa Haut-Sassandra (kwa Kifaransa: Région du Haut-Sassandra) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.

Mkoa wa Haut-Sassandra
Mahali paMkoa wa Haut-Sassandra
Mahali paMkoa wa Haut-Sassandra
Mahali pa Mkoa wa Haut-Sassandra (kijani)
katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Sassandra-Marahoué
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Sassandra-Marahoué
Serikali[1]
 - Prefect Brou Kouame
 - Rais wa Baraza Djedje Mady Alphonse
Eneo[2]
 - Jumla 15,200 km²
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 1,430,960
GMT (UTC+0)

Uko katika Magharibi ya kati ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Daloa. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 1,430,960.

Haut-Sassandra kwa sasa imegawanywa katika wilaya nne:

Marejeo hariri

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
  2. "Haut-Sassandra" Archived 5 Novemba 2016 at the Wayback Machine., gouv.ci, accessed 23 February 2016.