Côte d'Ivoire (tamka: kot divwar; kwa Kifaransa jina lina maana ya Pwani ya pembe za ndovu; kwa Kiingereza: Ivory Coast; kwa Kiswahili pia: Kodivaa) ni nchi ya Afrika ya Magharibi.

République de Côte d'Ivoire
Republic of Côte d'Ivoire
Bendera ya Côte d'Ivoire Nembo ya Côte d'Ivoire
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Union - Discipline - Travail
(sw. Umoja, Nidhamu, Kazi)
Wimbo wa taifa: L'Abidjanaise
(sw. Wimbo wa Abidjan)
Lokeshen ya Côte d'Ivoire
Mji mkuu Yamoussoukro (rasmi)
Abidjan (hali halisi)
6°51′ N 5°18′ W
Mji mkubwa nchini Abidjan
Lugha rasmi Kifaransa
Serikali Jamhuri
Alassane Ouattara
Uhuru
Tarehe
7 Agosti 1960
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
322,463 km² (ya 67)
1.4%
Idadi ya watu
 - 2014 kadirio
 - 2014 sensa
 - Msongamano wa watu
 
23,919,000 ¹ (ya 53)
22,671,331
63.9/km² (ya 139)
Fedha CFA franc (XOF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
GMT (UTC+0)
haifuatwi (UTC+0)
Intaneti TLD .ci
Kodi ya simu +225

-


Abidjan ni mji mkubwa na muhimu zaidi kiuchumi wa Ivory Coast .

Imepakana na Liberia na Guinea upande wa magharibi, Mali na Burkina Faso kaskazini, Ghana mashariki na Ghuba ya Guinea ya Atlantiki upande wa kusini.

Historia Edit

Baada ya uhuru (7 Agosti 1960) iliwahi kuwa kati ya nchi tajiri zaidi za Afrika lakini tangu mwaka 2002 uchumi na hali ya maisha kwa jumla vimeharibika kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe (2002-2011).

 
Ramani ya Côte d'Ivoire

Watu Edit

Wakazi walikadiriwa kuwa 23,919,000 mwaka 2014, lakini sensa ya mwaka huohuo ilihesabu idadi ndogo zaidi: 22,671,331.

Kabila kubwa ni lile la Waakan (42.1%). Asilimia 24.2 ni wahamiaji, hasa kutoka nchi jirani (Liberia, Burkina Faso na Guinea). Asilimia 4 wana asili tofauti, hasa Ufaransa, Lebanoni, Vietnam na Hispania.

Lugha zinazotumika kawaida ni 68, lakini lugha rasmi ni Kifaransa.

Upande wa dini, Uislamu una 42.9%, Ukristo 33.9% (Kanisa Katoliki peke yake 17.2%), dini asilia za Kiafrika 3.6% na dini nyingine 0.5%. Wasio na dini ni 19.1%

Tazama pia Edit

Marejeo Edit

Viungo vya nje Edit

 
WikiMedia Commons

Serikali

Habari

Overviews

Biashara

Orodha

Utalii

Mengineyo


Nchi za Afrika  
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Cote d'Ivoire kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.