Mkoko
Mkoko magondi (Rhizophora mucronata)
Mkoko magondi (Rhizophora mucronata)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Malpighiales (Mimea kama mwenda-usiku)
Familia: Rhizophoraceae (Mimea iliyo mnasaba na mkoko)
Jenasi: Bruguiera Savigny

Ceriops Arn.
Rhizophora L.

Spishi: B. cylindrica (L.) Blume

B. exaristata Ding Hou
B. gymnorhiza (L.) Savigny
B. hainesii C.G.Rogers
B. parviflora (Roxb.) Arn. ex Griff.
C. australis (C.T. White) Ballment & Stoddart
C. decandra (Griff.) W. Theob.
C. pseudodecandra Sheue, H.G. Liu, C.C. Tsai & Y.P. Yang
C. tagal (Perr.) C.B.Rob.
C. zippeliana Blume
R. apiculata Blume
R. x harrisonii Leechm.
R. mangle L.
R. mucronata Lam.
R. racemosa G.Mey.
R. samoensis (Hochr.) Salvoza
R. stylosa Griff.

Mikoko ni aina za miti au vichaka vinavyokua katika maji ya chumvi kwenye fuko za bahari za kanda za tropiki[1]. Miti hii inaainishwa katika jenasi tatu: Bruguiera, Ceriops na Rhizophora katika familia Rhizophoraceae. Pengine jina hili hutumika kwa Theobroma cacao lakini afadhali jina mkakao litumike kwa mti huu.

Takriban 1/3 ya pwani kwenye tropiki huwa na mikoko au miti ingine inayoweza kukua katika maji ya chumvi[2]. Msitu wa mikoko huitwa kapa au wangwa.

Mizizi ya mikoko inaweza kushika matope na hivyo husaidia kukinga pwani na kujenga visiwa.

Spishi za Afrika hariri

Spishi za mabara mengine hariri

Picha hariri

Marejeo hariri

  1. Hogarth, Peter J. (1999). The biology of mangroves Oxford University Press, Oxford.
  2. Morphological and physiological adaptations: Florida mangrove website. Retrieved on 2010 February 13.
  Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkoko kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.