Mlima Mtingire ni mmoja katika Milima ya Uluguru, safu ya milima katika Tanzania mashariki, km 200 hivi kutoka Bahari ya Hindi. Ni sehemu ya Milima ya Tao la Mashariki (pamoja na Milima ya Taita nchini Kenya, Milima ya Upare, Milima ya Usambara, Milima ya Unguu, Milima ya Rubeho, Milima ya Ukaguru, Milima ya Udzungwa, Milima ya Uvidunda na Milima ya Mahenge).

Mandhari ya milima ya Uluguru.

Pamoja na mlima Kimhandu ni mrefu kuliko yoke, ukiwa na kimo cha mita 2650 juu ya usawa wa bahari[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Uluguru". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-02-28. Iliwekwa mnamo 2018-03-05.