Mseke
Mseke ni jina la kata ya Wilaya ya Iringa Vijijini katika Mkoa wa Iringa, Tanzania yenye Postikodi namba 51204. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 15,868 waishio humo.[1]
Kata ya Mseke | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Iringa |
Wilaya | Iringa Vijijini |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 15,190 |
Mseke ina vijiji vya Tanangozi, Wenda, Sadani, Ugwachanya, Makota na Kaning'ombe. Huko Ugwachanya kuna eneo la kihistoria la Isimila penye mabaki mengi ya karahana za kutengeneza zana za mawe wakati wa Zama za Mawe.
Marejeo Edit
Kata za Wilaya ya Iringa Vijijini - Tanzania | ||
---|---|---|
Idodi | Ifunda | Ilolo Mpya | Itunundu | Izazi | Kalenga | Kihorogota | Kising'a | Kiwere | Luhota | Lumuli | Lyamgungwe | Maboga | Maguliwa | Mahuninga | Malenga Makali | Masaka | Mboliboli | Mgama | Migoli | Mlenge | Mlowa | Mseke | Nduli | Nyang'oro | Nzihi | Ulanda | Wasa |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Iringa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mseke kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |