Mtaguso wa tano-sita

Mtaguso wa tano-sita (au Mtaguso wa Trulo, yaani wa kuba, kwa kuwa ulikutanika ikulu) ni mtaguso uliofanyika Konstantinopoli chini ya kaisari Justiniani II mwaka 692. Uliitwa wa tano-sita kwa sababu ulitarajiwa kukamilisha mitaguso ya kiekumene wa tano na wa sita kwa kutoa sheria ambazo hiyo mitaguso haikuzitunga.

Mchoro wa karne ya 16 wa Urusi kuhusu mtaguso huo.

Walishiriki maaskofu 215, karibu wote kutoka Dola la Roma Mashariki.

Papa Sergio I alikataa kabisa[1][2] kuthibitisha kanuni hizo [3] zikilenga kufanya desturi za Konstantinopoli zifuatwe na Wakatoliki wote[4][5]. Kwa sababu hiyo kaisari aliagiza akamatwe na kuletwa Konstantinopoli, lakini watu walizuia utekelezaji wa amri hiyo[6][7].

Tanbihi hariri

  1. Hartmann (2012), p. 82
  2. Ekonomou, 2007, p. 222.
  3. Wilfried Hartmann, Kenneth Pennington (editors), The History of Byzantine and Eastern Canon Law to 1500 (CUA Press 2012 ISBN|978-0-81321679-9), p. 79
  4. Ostrogorsky, George; Hussey, Joan (trans.) (1957). History of the Byzantine state. New Brunswick, N.J.: Rutgers University Press. ku. 122–23. ISBN 978-0-8135-0599-2.  Unknown parameter |url-access= ignored (help)
  5. In a step that was symbolically important in view of the council's prohibition of depicting Christ as a Lamb, Sergius introduced into the liturgy the chant "Lamb of God, you take away the sins of the world, have mercy on us" at the breaking of the Host during Mass, and restored the damaged facade mosaic in the atrium of Saint Peter's that depicted the Worship of the Lamb. Cfr. Ekonomou, 2007, p. 223. The Agnus Dei would have been chanted in both Greek and Latin during this period, in the same manner as the other liturgical changes of Sergius. Cfr. Ekonomou, 2007, p. 250.
  6. Frank N Magill, Alison Aves, Dictionary of World Biography (Routledge 1998 ISBN|978-1-57958041-4), vol. 2, pp. 823–825
  7. Ekonomou, 2007, p. 44.

Vyanzo hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mtaguso wa tano-sita kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.