Kaisari Justiniani II (668/669 - 4 Novemba 711) alitawala Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka 685 hadi 695, tena kutoka 705 hadi 711, alipouawa kwa kiburi na ukatili wake.

Justiniani II katika mozaiki huko Ravenna, Italia.

Alijitahidi kurudisha Dola la Roma katika hadhi yake ya zamani.

Katika historia ya Kanisa anakumbukwa kwa kuendesha mtaguso wa tano-sita katika ikulu yake.

Tangu kale Waorthodoksi wanamheshimu kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Agosti[1][2].

Tazama pia Edit

Tanbihi Edit

Marejeo Edit

Vyanzo Edit

Vyanzo vikuu Edit

Vinginevyo Edit

Viungo vya nje Edit

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: