Nadharia ya uhusianifu
Nadharia ya uhusianifu iliundwa na Albert Einstein na inajumlisha nadharia uhusianifu maalum (mwaka 1905) na nadharia uhusianifu ya jumla (1916).
Nadharia uhusianifu maalum husema:
- Wachunguzi wakiwa na mwendo tofauti, hukuona wakati na umbali hubadilishwa, katika fomula γ=(1-v2/c2)-1/2.
- Kasi ya nuru huwa sawa kwa wachunguzi wote.
Nadharia uhusianifu ya jumla huelezea uvutano kama mviringo wa wakati na nafasi. Huendeleza nadharia ya uvutano ya Isaac Newton. Hutumiwa na kosmolojia kisasa.
Majaribio mengi yamethibitisha nadharia zote mbili,[1] kama vile majaribio wa Michelson-Morley na majaribio wa Ives-Stilwell (nadharia uhusianifu maalum), na majaribio wa Pound-Rebka (nadharia uhusianifu ya jumla).
MarejeoEdit
Makala hii kuhusu mambo ya fizikia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nadharia ya uhusianifu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |