1905
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 19 |
Karne ya 20
| Karne ya 21
◄ |
Miaka ya 1870 |
Miaka ya 1880 |
Miaka ya 1890 |
Miaka ya 1900
| Miaka ya 1910
| Miaka ya 1920
| Miaka ya 1930
| ►
◄◄ |
◄ |
1901 |
1902 |
1903 |
1904 |
1905
| 1906
| 1907
| 1908
| 1909
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1905 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2021 MMXXI |
Kalenda ya Kiyahudi | 5781 – 5782 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2774 |
Kalenda ya Ethiopia | 2013 – 2014 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1470 ԹՎ ՌՆՀ |
Kalenda ya Kiislamu | 1443 – 1444 |
Kalenda ya Kiajemi | 1399 – 1400 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2076 – 2077 |
- Shaka Samvat | 1943 – 1944 |
- Kali Yuga | 5122 – 5123 |
Kalenda ya Kichina | 4717 – 4718 庚子 – 辛丑 |
- 1 Februari - Emilio Segre, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1959
- 7 Februari - Ulf von Euler, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1970
- 14 Machi - Raymond Aaron, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 21 Machi - Phyllis McGinley, mshairi kutoka Marekani
- 18 Aprili - George Hitchings, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1988
- 24 Aprili – Robert Penn Warren, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1958
- 16 Mei - Henry Fonda, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 17 Mei - John Patrick, mwandishi kutoka Marekani
- 24 Mei - Mikhail Sholokhov, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1965
- 21 Juni - Jean-Paul Sartre, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1964
- 25 Julai - Elias Canetti, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1981
- 29 Julai - Stanley Kunitz, mshairi kutoka Marekani
- 24 Agosti - Sven Stolpe, mwandishi kutoka Uswidi
- 3 Septemba - Carl David Anderson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1936
- 24 Septemba - Severo Ochoa, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1959
- 30 Septemba - Nevill Mott, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1977
- 23 Oktoba - Felix Bloch, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1952
bila tarehe
- Sheikh Abeid Amani Karume, Rais wa kwanza wa Zanzibar
WaliofarikiEdit
- 14 Juni - Tippu Tip, mfanyabiashara Mtanzania mashuhuri)
- 14 Septemba - Pierre Brazza
Wikimedia Commons ina media kuhusu: