Nanjota ni kata ya Wilaya ya Masasi katika Mkoa wa Mtwara, Tanzania.

Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2022, kata ilikuwa na wakazi wapatao 5,151 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 9,094 waishio humo.[2]

Jina Nanjota limetokana na neno "Njota" na huu ni msamiati wa lugha ya Kiyao wenye maana ya "kuwa na kiu".

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Masasi Vijijini - Tanzania  

Chigugu | Chikoropola | Chikukwe | Chikundi | Chikunja | Chiungutwa | Chiwale | Chiwata | Lipumburu | Lukuledi | Lulindi | Lupaso | Makong'onda | Mbuyuni | Mchauru | Mijelejele | Mitesa | Mkululu | Mlingula | Mnavira | Mpanyani | Mpeta | Mpindimbi | Msikisi | Mwena | Namajani | Namalenga | Namatutwe | Namwanga | Nanganga | Nangoo | Nanjota | Ndanda | Sindano


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mtwara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nanjota kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.