Nathalan (pia: Nachlan au Nauchlan; alifariki 678) alikuwa askofu katika eneo la Aberdeen nchini Uskoti, maarufu kwa upendo aliokuwanao kwa fukara[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Leo XIII tarehe 11 Julai 1898.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Januari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Watt, Archibald, Highways and Byways around Kincardineshire, Stonehaven Heritage Society (1985)
  • Congregatio de Causis Sanctorum, Index ac status causarum, Città del Vaticano 1999.
  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.