Njia
Njia ni sehemu au eneo wazi jembamba ambalo hutumiwa na watu, wanyama au magari kupita, lakini pia namna au mbinu ya kufanya kazi au kutatua tatizo fulani.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/31/Shaharah_bridge.jpg/290px-Shaharah_bridge.jpg)
Mithali maarufu ya Kiswahili inasema, "Penye nia pana njia".
Katika Ukristo
haririYesu alifundisha kufuata njia nyembamba inayopeleka uzimani kuliko ile pana inayofikisha upotevuni (Math 7:13-14).
Zaidi ya hayo, mwenyewe alijitangaza kuwa njia pekee ya kumfikia Baba (Yoh 14:6).
Kadiri ya Matendo ya Mitume, Ukristo uliitwa kwanza "Njia" (22:4).
Tazama pia
haririMakala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |