Oliva wa Brescia
Oliva wa Brescia (au Olivia) (alifariki 138 au 119) alikuwa mwanamke Mkristo ambaye alifia dini yake chini ya kaisari Hadrian.
Masalia yake yanatunzwa katika kanisa la Mtakatifu Afra huko Brescia (Italia).
Tangu kale anahshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu bikira mfiadini.
Tazama pia hariri
Viungo ya nje hariri
- Icon of St Olivia
- Oliva at Patron Saints Index
- 5 March saints Archived 30 Mei 2015 at the Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |