Otto wa Bamberg (1060/106130 Juni 1139) alikuwa chansela wa Dola Takatifu la Roma[1] , halafu askofu wa Bamberg nchini Ujerumani aliyeinjilisha kwa bidii Pomerania[2] alipoongoa Wapagani 20,000 na miji saba bila kutumia silaha kama ilivyofanywa awali[3].

Mt. Otto katika mchoro wa ukutani.

Kwa maadili yake bora[4], tangu kale alitambuliwa kuwa mtakatifu akatangazwa hivyo na Papa Klementi III (1189).

Sikukuu yake ni 30 Juni[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.