Pankrasi wa Taormina

Pankrasi wa Taormina (Adana, leo nchini Uturuki, karne ya 1 - Taormina, Sicilia, Italia, 98 hivi) alikuwa Mkristo wa karne ya 1.

Undani wa kanisa lake huko Taormina.

Inasemekana akiwa mtoto alimfahamu Yesu akabatizwa na Mtume Petro ambaye alimtuma Taormina kama askofu wa kwanza wa mji huo.

Baada ya kuongoa wengi, aliuawa kwa sababu ya imani yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadimishwa tarehe 8 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.