Yesu kushushwa

(Elekezwa kutoka Pietà)

Yesu kushushwa kutoka msalabani mara baada ya kufa na kupakatwa na mama yake, Bikira Maria, ni tukio lililofikiriwa na wafuasi wake wengi na kuchorwa au kuchongwa na wasanii mbalimbali kwa ufanisi mkubwa.

Pietà ya Michelangelo katika Basilika la Mt. Petro, 14981499.

Maarufu zaidi ni sanamu ambayo ilichongwa katika marumaru na Michelangelo Buonarroti na inatunzwa katika basilika la Mtume Petro huko Vatikani.

Aina hiyo ya sanaa inaitwa kwa kawaida "Pietà", neno la Kiitalia linalomaanisha huruma.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: