Prosdosimi
Prosdosimi (alifariki karne ya 2 hivi) alikuwa Mkristo mwenye asili ya Ugiriki ambaye anatajwa kama askofu wa kwanza wa Padua, Italia Kaskazini[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/76500
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje hariri
- Saints of November 7: Prosdocimus of Padua Archived 29 Desemba 2019 at the Wayback Machine.
- http://www.parrocchiacamponogara.it/san-prosdocimo.aspx
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |