Richadi Gwyn
Richadi Gwyn (Llanidloes, Montgomeryshire[1], 1537 hivi - Wrexham, 15 Oktoba 1584) alikuwa mshairi wa Wales aliyeuawa na serikali ya Uingereza iliyokuwa imekataza Ukatoliki nchini [2][3].

Papa Paulo VI akamtangaza mtakatifu tarehe 25 Oktoba 1970.
Tazama pia Edit
Tanbihi Edit
- ↑ Edited by Edwin H. Burton & J.H. Pollen, S.J. (1914), Lives of the English Martyrs: Second Series; The Martyrs Declared Venerable. Volume I: 1583-1588. Page 127.
- ↑ Malcolm Pullan (2008), The Lives and Times of the Forty Martyrs of England and Wales 1535-1680, page 142.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/93309
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje Edit
- Edited by Edwin H. Burton & J.H. Pollen, S.J. (1914), Lives of the English Martyrs: Second Series; The Martyrs Declared Venerable. Volume I: 1583-1588 Pages 127–144.
- Collected and Edited by John Hungerford Pollen, S.J. (1908), Unpublished Documents Relating to the English Martyrs. Volume I: 1584-1603 Pages 90–99.
- Saint Richard Gwyn, The Angelus, October 1978, Volume I, Number 10; by Malcolm Brennan
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |