Rutuba (kutoka neno la Kiarabu) ni uwezo wa ardhi kufanikisha ukuaji wa mazao kwa ajili ya kilimo, au pia ni uwezo wa ardhi kutoa makao kwa mimea na kusababisha uzalishaji ulio thabiti na endelevu ulio na ubora wa hali ya juu.

  • Ni uwezo wa ugavi wa virutubisho muhimu vya mimea na maji kwa kiasi cha kutosha kwa ajili ya ukuaji na uzalishaji wa mimea.
Rutuba asili ikirundikana juu ya ardhi.

Sifa zifuatazo zinachangia rutuba kwa namna mbalimbali:

  • Kina cha udongo cha kutosha kwa ajili ya ukuaji wa mizizi na uhifadhi bora wa maji.
  • Mifereji ya ndani ya maji inayoruhusu upitishaji wa hewa kwa urahisi kwa ajili ya ukuaji mzuri wa mizizi (ingawa kuna baadhi ya mimea, kama vile mpunga, ambayo hustahimili maji yaliyotwama).
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rutuba kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.