Sekundo wa Asti
Sekundo wa Asti (alifariki Asti, Piemonte, Italia Kaskazini, 29 Machi 119) anakumbukwa kama Mkristo aliyefia imani yake kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya kaisari Hadrian[2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Torino Medievale - Percorso - Porta Doranea. Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-07-22. Iliwekwa mnamo 2021-03-26.
- ↑ [1]
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
- Saints of March 29: Secundus of Asti Archived 24 Septemba 2015 at the Wayback Machine.
- San Secondo di Asti (Kiitalia)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |