Sentola
Sentola (Toledo, Hispania, karne ya 3 - Burgos, Hispania, 304) alikuwa msichana Mkristo aliyeuawa kwa imani yake katika dhuluma ya kaisari Masimino.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ J. Richard Stracke (n.d.). "St. Centola, Virgin and Martyr". Georgia Regents University. Iliwekwa mnamo April 19, 2014. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/65320
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |