Sentola (Toledo, Hispania, karne ya 3 - Burgos, Hispania, 304) alikuwa msichana Mkristo aliyeuawa kwa imani yake katika dhuluma ya kaisari Masimino.

Kifodini chake na cha Mt. Helena[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Agosti[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. J. Richard Stracke (n.d.). "St. Centola, Virgin and Martyr". Georgia Regents University. Iliwekwa mnamo April 19, 2014.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/65320
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.