Serapioni wa Algiers
Serapioni Scott, O. de M. (1179 – 14 Novemba 1240) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Uingereza[1][2][3] au Uskoti[4] ambaye alikwenda Algeria kukomboa watumwa akauawa kwa ajili ya imani yake kwa kusulubiwa na kukatwa vipandevipande.
Papa Benedikto XIII alimtangaza mfiadini na kukubali shirika lake limheshimu (14 Aprili 1728).[2] Halafu Papa Benedikto XIV alimuingiza katika orodha ya watakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Monks of Ramsgate. “Serapion”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 20 November 2016. Web.
- ↑ 2.0 2.1 Butler, Alban. “Saint Serapion, Martyr in England”. Lives of the Fathers, Martyrs, and Principal Saints, 1866. CatholicSaints.Info. 30 January 2013. Web.
- ↑ Stanton, Richard. A Menology of England and Wales, Burns & Oates, 1887, p. 539
- ↑ O'Loughlin. Thomas. "Martyrs", Encyclopedia of Monasticism, (William M. Johnston, ed.), Routledge, 2013, ISBN 9781136787164 p. 832
- ↑ https://catholicsaints.info/saint-serapion-of-algiers/
Viungo vya nje hariri
- (Kinorwei) Den hellige Serapion av Alger (1179-1240)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |