Siagri wa Nice (alifariki 787) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 777.

Sanamu yake upande wa mbele wa kanisa kuu la Nice.

Awali alikuwa mmonaki naye alianzisha monasteri karibu na Nice [1][2][3][4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki[5] na Waorthodoksi[6] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Mei.[7]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Catholicsaints.info: Saint Syagrius of Nice
  2. Charles-Alexandre Fighiera, Abbots of Saint-Pons in Nice, Nice History, 1970, No. 65 pp 3-40
  3. M le Comte E. Cais de Pierlas, ed. Gustave Saige, Chartrier de l'abbaye de Saint-Pons hors les murs de Nice (p. 549), Monaco 1903
  4. https://www.santiebeati.it/dettaglio/54480
  5. Goyau, Georges, "Diocese of Nice" The Catholic Encyclopedia. Vol. 11. New York: Robert Appleton Company, 1911
  6. Ὁ Ὅσιος Συάγριος. 23 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ
  7. Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana 2001 ISBN 88-209-7210-7)

Marejeo hariri

  • Passet, Claude. La Passion de Pons de Cimiez (Passio Pontii): sources et tradition. Nice, 1977.
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.