Sipriani Iwene Tansi

Sipriani Iwene Tansi, O.C.S.O. (Igboezunu, Onitsha, Nigeria, 1903 - Leicester, Uingereza, 20 Januari 1964) alikuwa padri mmonaki.

Picha yake halisi.

Anaheshimiwa na Wakatoliki kama mwenyeheri, wa kwanza kutoka Nigeria, tangu alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II tarehe 22 Machi 1998.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Januari.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.