Sirili wa Antiokia

Sirili wa Antiokia (alifariki Panonia, 306 hivi) alikuwa Patriarki wa Antiokia, leo nchini Uturuki, baada ya Timeo, kuanzia mwaka 280 hivi hadi 303 alipopelekwa uhamishoni Ulaya katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.