Sofa (kutoka neno la Kiingereza lilitokana na Kituruki likiwa na asili ya Kiarabu suffa, yaani "sufu"; pia kochi kutokana na Kiingereza "couch") ni kiti cha starehe cha kisasa kinachoundwa kwa kutumia mbao magodoro na kitambaa maalumu.

Sofa kadhaa katika maeneo ya ufukwe wa bahari.

Sofa ni maarufu sana: kwa sasa hutumika sehemu mbalimbali kama nyumbani, ofisini, katika masaluni n.k.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • John Gloag, A Short Dictionary of Furniture rev. ed. 1962. (London: Allen & Unwin)
  • The Grove Encyclopedia of Decorative Arts, Volume 2, page 369, Oxford University Press 2006 ISBN 9780195189483
  Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sofa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.