Tarsila wa Roma (aliishi karne ya 6) alikuwa bikira Mkristo, shangazi wa Papa Gregori I, ambaye alisimulia maisha yake katika hotuba fulani[1], akisema alijitoa kwa Mungu pamoja na dada zake Emiliana na Gordiana katika maisha ya Kiroho.[2]

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Desemba[3]..

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Da www.treccani.it
  2. Da www.santiebeati.it
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo hariri

  • Giovanni Sicari, Reliquie Insigni e "Corpi Santi" a Roma, Monografie Romane a cura dell'Alma Roma, 1998
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.