Teodoriko wa Reims

Teodoriko wa Reims (alifariki karibu na Reims, Ufaransa, 1 Julai 533) alikuwa padri halafu mkaapweke aliyeanzisha monasteri [1] iliyovutia wengi, akiwemo baba yake aliyekuwa jambazi.

Hayo yote ni baada ya kumuacha mke wake kwa kuwa alikataa kuishi naye kama kaka na dada tu na kwa kufuata shauri la askofu Remi[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[3][4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Julai[5].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.