Makala hii inahusu mada au mtu asiyejulikana sana. Kuna mashaka kama mada inastahili kuwa na makala katika kamusi. Onyo hili linaweza kuwekwa pia kama makala haionyeshi umaarufu, hata kama upo.

Watumiaji wanaombwa kushiriki katika majadiliano kama makala hii inafaa kubaki au la. Tazama:Wikipedia:Umaarufu

Unaweza kuondoa kigezo hiki kama majadiliano yametokea na washiriki walipatana.

Vijay Ghormade ni raia mwenye asili ya India ambaye ni profesa katika masomo ya sheria katika Chuo Kikuu cha Mzumbe kilichopo mkoa wa Morogoro, hususan katika masomo ya sheria za kimataifa katika kitabu chake cha Lectures on Public international laws.