Vijili wa Trento
Vijili wa Trento (353 hivi - ziwa la Garda, Italia, 26 Juni 405) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo kwa miaka mingi akaanzisha parokia 30.
Alijitahidi kuwaleta Wapagani na Waario katika Kanisa Katoliki.
Aliuawa kwa ajili ya imani yake kwa kupigwa mawe[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia Edit
Tanbihi Edit
Marejeo Edit
- Nicholas Everett, Patron Saints of Early Medieval Italy AD c.350-800 (PIMS/Durham University Press, 2016), pp.124-138.
Viungo vya nje Edit
- SANTI, BEATI E TESTIMONI
- ökumenisches Heiligenlexikon, Vigilius_von_Trient
- Vigilius
- J.Leinweber, Heiligsprechungen bis 1234
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |