Waacholi (pia Waacoli) ni kabila la Kijaluo la Sudan Kusini na hasa Uganda Kaskazini (Acholiland, iliyogawanyika katika wilaya ya Agago, wilaya ya Amuru, wilaya ya Gulu, wilaya ya Kitgum, wilaya ya Lamwo, wilaya ya Nwoya,wilaya ya Omoro na wilaya ya Pader).

Acholiland, Uganda.

Lugha yao ni lahaja ya Kiluo.

Kama Wajaluo wote ni kabila la Waniloti ambalo lilisafiri kutoka Afrika ya Kaskazini kufuata mto Nile kwenda Kusini.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Atkinson, Ronald Raymond (1994) The roots of ethnicity: the origins of the Acholi of Uganda before 1800. Kampala: Fountain Publishers. ISBN 9970-02-156-7.
  • Dwyer, John Orr (1972) 'The Acholi of Uganda: adjustment to imperialism'. (unpublished thesis) Ann Arbor, Michigan: University Microfilms International .
  • Girling, F.K. (1960) The Acholi of Uganda (Colonial Office / Colonial research studies vol. 30). London: Her majesty's stationery office.
  • Latigo, James, "The Acholi Traditional Conflict Resolution in Light of Current Circumstances:" National Conference on Reconciliation, Hotel Africana, Kampala, Law Reform Journal (Uganda Law Reform Commission), 4 September 2006)
  • Webster, J. (1970) 'State formation and fragmentation in Agago, Eastern Acholi', Provisional council for the social sciences in East Africa; 1st annual conference, vol 3., p. 168-197.

Marejeo mengine hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waacholi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.