Waata (au Waat, Watha) ni kabila lenye asili ya Kikhoisan linalokalia tangu kale pwani ya Kenya (kaunti ya Tana River na kaunti ya Lamu). Wanakadiriwa kuwa 13,000.

Lugha mama yao ni Kiwaata, mojawapo kati ya lugha za Kikushi[1].

Wana undugu wa asili na Waaweer na Wadahalo nao wote wanaitwa Wasanye.

Tanbihi hariri

  1. Martin Walsh, 1992/1993. The Vuna and the Degere: Remnants and Outcasts among the Duruma and Digo of Kenya and Tanzania. Bulletin of the International Committee on Urgent Anthropological and Ethnological Research 34/35: 133–147.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu utamaduni wa Kenya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waata kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.