Wikipedia ya Kiajemi

Wikipedia ya Kiajemi (Kiajemi: ویکی‌پدیا، دانشنامهٔ آزاد, Vikipedia, Daneshname-ye Azad maana yake Wikipedia, Kamusi Elezo Huru) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kiajemi. Toleo la Wikipedia kwa lugha ya Kiajemi, lilianzishwa mnamo mwezi wa Januari katika mwaka wa 2004. Ilipita idadi ya makala 1,000 mnamo tar. 16 Desemba 2004 (26 Adhar 1383 Hsh) na lengo la makala 10,000 lilifikiwa kunako tar. 18 Februari 2006. Na kwa tar. 6 Mei 2009, imekuwa na makala 60,083.

Favicon of Wikipedia Wikipedia ya Kiajemi
Kisarahttp://fa.wikipedia.org/
Ya kibiashara?Hapana
Aina ya tovutiMradi wa Kamusi Elezo ya Interneti
KujisajiriHiari
Lugha asiliaKiajemi
MmilikiWikimedia Foundation

Wikipedia ya Kiajemi ilianzishwa kwa juhudi za Roozbeh Pournader na wachangiaji.[1]

Marejeo hariri

  1. Tabesh, Sina (2004-05-14). "ویکی‌پدیا چیست؟" (kwa Persian). Cappucino Magazine. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-09-28. Iliwekwa mnamo 2007-07-09. 

Viungo vya nje hariri

 
Wikipedia
Wikipedia ya Kiajemi ni toleo la Wikipedia, kamusi elezo huru
  Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wikipedia ya Kiajemi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.