Zimbabwe Kuu (kwa Kiingereza: Great Zimbabwe ulikuwa mji wa Karne za Kati katika vilima vya kusini-mashariki mwa Zimbabwe karibu na Ziwa Mutirikwi na mji wa Masvingo. Inafikiriwa ulikuwa mji mkuu wa dola kubwa lisilojulikana sana.[1]

Mandhari ya Zimbabwe Kuu.

Majengo yake ya mawe ni ya kuanzia karne ya 9 hadi karne ya 15, mji ulipoachwa. Inasadikiwa kwamba wakazi bwake waliweza kufikia 18,000 na kuwa mababu wa Washona wa leo.[2]

Magofu yake yameorodheshwa na UNESCO kama Urithi wa Dunia.

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri
  1. Pikirayi, Innocent (2013). "Great Zimbabwe in Historical Archaeology: Reconceptualizing Decline, Abandonment, and Reoccupation of an Ancient Polity, A.D. 1450–1900". Historical Archaeology. 47: 26–37. doi:10.1007/BF03376887. hdl:2263/59176. S2CID 59380130.
  2. "Great Zimbabwe: African City of Stone". Live Science. 10 Machi 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Vyanzo

hariri

Viungo vya nje

hariri
 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

  Zimbabwe Kuu travel guide kutoka Wikisafiri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Zimbabwe Kuu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.