Aina ya uprogramishaji

Katika utarakilishi, aina ya uprogramishaji (kwa Kiingereza: programming paradigm) ni njia ya kupanga lugha za programu kulingana na umbo husika.

Mchoro wa aina za uprogramishaji.

Kwa mfano, uprogramishaji kiviumbile unatumika kwenye Python au JavaScript na uprogramishaji kikadhia unatumika kwenye Haskell au PHP.

Marejeo hariri

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.