Aleksanda wa Filomelio na wenzake

Aleksanda wa Filomelio na wenzake askari 30 (walifariki Filomelio, Frigia, leo nchini Uturuki, karne ya 4) walikuwa Wakristo waliouawa kwa imani yao chini ya Magnus, liwali wa Antiokia wa Pisidia [1].

Hao wote walianza kuheshimiwa mapema kama watakatifu na wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 13 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.