Aleksanda wa Makaa

Aleksanda wa Makaa (alifariki Gumenek, leo nchini Uturuki, 251 hivi) alikuwa askofu wa mji huo maarufu kwa unyenyekevu wake uliomfanya apende kudharauliwa. Njia mojawapo ilikuwa kufanya kazi ya kuchoma makaa na kuwa mchafu[1].

Hatimaye aliuawa kwa ajili ya imani wakati wa dhuluma ya kaisari Decius[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Agosti[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.