Alex Tolgos (alizaliwa 6 mei 1980,kenya) ni mhandisi wa Kenya na mwanasiasa ambaye kwa sasa ni gavana wa Kaunti ya Elgeyo Marakwet. Alichaguliwa kuwa gavana wa kwanza wa kaunti tarehe 4 Machi 2013, na alichaguliwa tena tarehe 8 Agosti 2017, kutumikia awamu ya pili na ya mwisho kama gavana.

Alex Tolgos mnamo mwaka 2013

Maisha na Elimu hariri

Tolgos alizaliwa 6 Mei 1980 mjini Elgeyo-Marakwet nchini Kenya.

Alihudhuria Shule ya sekondari ya St Patrick's (Iten, Kenya).

Alihitimu Chuo Kikuu cha Nairobi na shahada sayansi ya uhandisi wa mitambo[1]

Marejeo hariri

  1. Department, ICT. "The Governor". www.elgeyomarakwet.go.ke. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-10-19. Iliwekwa mnamo 2022-03-16. 
  Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Alex Tolgos kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.