Alto (alifariki huko Bavaria, Ujerumani, 760 hivi) alikuwa mmonaki mwenye asili ya Ireland, maarufu kwa kuanzisha msituni monasteri nchini Ujerumani, ambayo baadaye ilizungukwa na wananchi hata kuunda kijiji chenye jina lake hata leo[1].

Mt. Alto alivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Februari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.