Andreas Pereira (kirefu: Andreas Hugo Hoelgebaum Pereira; alizaliwa 1 Januari 1996) ni mchezaji wa soka wa Ubelgiji na Brazil ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Uingereza Manchester United.

Andreas Pereira
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaUbelgiji Hariri
Nchi anayoitumikiaUbelgiji, Brazil Hariri
Jina katika lugha mamaAndreas Pereira Hariri
Jina la kuzaliwaAndreas Hugo Hoelgebaum Pereira Hariri
Jina halisiAndreas Hariri
Jina la familiaPereira Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa1 Januari 1996 Hariri
Mahali alipozaliwaDuffel Hariri
BabaMarcos Pereira Hariri
Lugha ya asiliKiholanzi Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKiholanzi Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timuKiungo Hariri
Muda wa kazi2014 Hariri
Mwanachama wa timu ya michezoSantos FC, Belgium national under-17 football team, Brazil national under-20 football team Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji44 Hariri
LigiLigi Kuu Uingereza Hariri
Described at URLhttps://www.transfermarkt.pt/andreas-pereira/profil/spieler/203394 Hariri


Andreas Pereira

Alizaliwa huko Duffel, Ubelgiji, akaanza kazi yake ya kucheza mpira wa miguu na Lommel United.

Alipokuwa na umri wa miaka tisa, alijiunga na klabu ya Uholanzi PSV Eindhoven kabla ya kusaini Manchester United mnamo Novemba 2011.

Pereira alifanya muonekano wa kwanza wa Ligi Kuu ya Uingereza mwezi Machi 2015. Amekuwa akicheza kwa mkopo katika vikundi vya Hispania Granada na Valencia.

Alicheza mpira wa miguu wa kimataifa na timu ya vijana ya nchi aliyozaliwa Ubelgijina pia aliichezea timu ya baba yake ya taifa Brazil.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Andreas Pereira kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.