Aniene ni mto wa mkoa wa Lazio nchini Italia ambao ni tawimto la Tiber.

Maporomoko ya maji ya Aniene huko Tivoli, 1890.

Urefu wake ni km. 99.

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: