Ares, Promo na Elia

Ares, Promo na Elia (walifia dini Askalona, Palestina, 14 Desemba 308 au 309) walikuwa Wakristo wa Misri ambao waliuawa kwa imani yao wakielekea na wenzao wengi huko Kilikia kufariji waliopelekwa na kaisari Masimino Daia uhamishoni huko.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 14 Desemba[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.