Arey (pia: Ariji, Aredi; Chalon-sur-Saône, 535 hivi - Gap, 1 Mei 604) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ufaransa) maarufu kwa uvumilivu mkubwa katika matatizo, kwa kupinga usimoni na kwa kupokea vizuri wamisionari waliotumwa na Papa Gregori I Uingereza [1].

Mt. Arey alivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Mei[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/51560
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Vyanzo hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.