Artemis Zatti
Artemis Zatti, S.D.B. (Kiitalia: Artemide Zatti; Boretto, Italia, 12 Oktoba 1880 – Viedma, Argentina, 15 Machi 1951) alikuwa mtawa wa shirika la Wasalesiani wa Yohane Bosco ambaye kama mfamasia alishughulikia vizuri sana wagonjwa wa nchi aliyoihamia utotoni.
Alitangazwa mwenye heri na Papa Yohane Paulo II tarehe 14 Aprili 2002[1], halafu mtakatifu na Papa Fransisko tarehe 9 Oktoba 2022[2][3].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Blessd Artemide Zatti. Santi e Beati. Iliwekwa mnamo 10 July 2016.
- ↑ CNA. Immigrant nurse to be canonized (en).
- ↑ Vatican – ARTEMIDE ZATTI, PROCLAIMED SAINT (it-it).
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |