Askari wafiadini wa Sinope

Askari wafiadini wa Sinope (walifariki Sinope, Ponto, leo nchini Uturuki, 235/238) ni kundi la askari 200 ambao waliongokea Ukristo na kha hiyo waliuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Maximinus[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao inaadhimishwa kila mwaka tarehe 7 Aprili[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.