Barbara Cui Lianzhi

Barbara Cui Lianzhi (Xiaotian, 1849 hivi - Liushuitao 15 Juni 1900) alikuwa mwanamke wa China aliyefia imani ya Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia. Baada ya kuuliwa mwanae alijaribu kukimbia usiku lakini akakamatwa na kuteswa vikali hadi kifodini chake[1].

Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao ya pamoja huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe 15 Juni, siku ya kifodini chake[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.