Betselote na Honori

Betselote na Honori ni kati ya wamonaki Wakristo wa Ethiopia wanaokumbukwa hadi leo.

Habari zao ziliandikwa na kutunzwa katika mfululizo "Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium, 28 = Corpus Scriptorum Christianorum Orientalium, Scriptores Aethiopici, 11 (Vitae sanctorum indigenarum, fasc. 1. Acta S. Basalota Mika'el et S. Anorewos (Aeth. II, 20), T.; ISBN: 978-90-429-0063-9)

Tangu kale wanaheshimiwa na Kanisa la Kiorthodoksi la Ethiopia kama watakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Oktoba.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.