Bladolfo (alifariki Bobbio, Emilia-Romagna, leo nchini Italia, 630) alikuwa padri mmonaki, mwanafunzi wa Kolumbani[1][2].

Kwa ajili ya imani sahihi alipigwa kikatili na watu waliotumwa na mfalme Ariovaldo wa Walombardi aliyekuwa Mwario, lakini alinusurika kufa[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Januari[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.