Shirika la Mkombozi

(Elekezwa kutoka CSSR)

Shirika la Mkombozi Mtakatifu sana (kwa [[Kilatini: Congregatio Sanctissimi Redemptoris – Ufupisho: C.Ss.R au CSSR) ni shirika la kitawa la kimisionari la Kanisa Katoliki lililoanzishwa na Alfonso Maria wa Liguori tarehe 9 Novemba 1732 huko Scala (karibu na Amalfi, Italia) ili kushughulikia watu waliosahaulika wa mkoa wa Napoli.

Mt. Alfonso Maria wa Liguori (1696-1787), Mwanzilishi wa shirika
Mt. John Nepomucene Neumann (1811-1860), askofu wa kwanza wa Marekani kutangazwa mtakatifu

Kwa Kiingereza wanashirika wanajulikana kama Redemptorists. Wakiwa mapadri na mabradha wanafanya kazi katika nchi zaidi ya 77 duniani kote. Mkuu wao anaitwa Michael Brehl.

Wanashirika maarufu hariri

Viungo vya nje hariri