Jeradi Majella (Muro Lucano, Italia 6 Aprili 1726Caposele, 16 Oktoba 1755) alikuwa bradha wa shirika la Mkombozi.

Sanamu ya Jeradi Majella ya kabla ya mwaka 1905.
Sanamu ya Jeradi Majella ya kabla ya mwaka 1905.

Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 29 Januari 1893 akatangazwa na Papa Pius X kuwa mtakatifu tarehe 11 Desemba 1904.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Oktoba[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.